kabati

The Central Province (Swahili: Kati, Gikuyu: Gichigo gia Gatagati) was a region in central Kenya until 2013, when Kenya's provinces were replaced by a system of counties. It covered an area of 11,449 km2 (4,420 sq mi) and was located to the north of Nairobi and west of Mount Kenya (see maps). The province had 4,383,743 inhabitants according to the 2009 census. The provincial headquarters was Nyeri.
Central Province was the ancestral home of the Gikuyu people.

View More On Wikipedia.org
  1. mbacho massawe

    MATERIAL GANI NZURI ZA KUTUGENEZA KABATI LA NGUO

    Habari za jioni wakuu. Kati ya mbao , MDF na marine board ni ipi material imara kwenye kutengeneza kabati? Nimeenda kwa mafundi nataka wqnitengeneze kabati ila kila mmoja ana material tofauti. Je kwa kabati la nguo material gani ni nzuri na imara?
  2. Bujoro

    Nauza Kabati la Mninga Bei Sawa Na Bure tsh 299,000/=

    Habari wanajukwaa wenzangu najua mko poa, kama kichwa cha tangazo kinavojieleza nauza kabati langu la mninga lina mwaka mmoja tu toka nilinunue na nilinunua bei kubwa sana nadhani wengi mnafahamu mbao ya mninga ulivo imara na bei kubwa ni 6 ×5 ,lina milango mitatu juu na chini na drow bei ni...
  3. Bujoro

    Nauza Kabati la Mninga Bei Sawa Na Bure tsh 299,000 /=

    Habari za leo ndugu zangu najua mko poa, naenda kweny dhumuni langu kama kichwa cha uzi kinavojieleza, nauza kabati langu la mninga, nimelinunua lina mwaka mmoja tu ni 6×5 lina milango mitatu juu na chini na drow bei ni tsh 299,000 /= halina kipengere chochote wala changamoto yoyote ni mali...
  4. RaJhumoR

    Kabati la Vioo la Nguo ama Urembo Linauzwa

    Ebhana watu wa JF nawasalimu kwa Heshima ya Jamhuri ya muungano wa Taifa letu Nina biashara nahitaji kuuza hili kabati langu la vioo, Na nimelipenda sana ila dah kuna madogo wawili wamekuwa position nyumbani sasa ni watundu balaa na mm nahofia watavunja maana wao sasahivi wanashinda room...
Back
Top Bottom