kabichi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Malaika wa Misukosuko

    Taja mboga ambayo ukiipika utaila weee ila sifa yake ni kwamba haiishagi mimi naanza na Kabeji (kabichi)

    Habari ndugu zangu, Moja ya sifa ya kabeji ni kwamba unaipika unaila mpaka unatamani iishe sasa ila ndo haiishi....twende kazi mboga gani nyingine ina sifa hii ?
  2. Sildenafil Citrate

    KWELI Mboga za kabichi (Cabbage) sio nzuri kwa watu wenye Ugonjwa wa Goita

    Naomba kufahamishwa ukweli, nimekuwa nasikia mitaani kuwa ulaji wa mboga za majani aina ya Kabichi siyo mzuri kwa afya kwa watu wenye ugonjwa wa Goita. Mimi kama mdau wa mboga za majani huwa napata wasiwasi sana juu ya maelezo haya. JamiiForums naomba mnisaidie kujua ukweli wake. Nawasilisha.
  3. Me too

    Wanaume na dhana ya kutopenda mboga ya kabichi

    Ni kwanini wanaume mnaichukia kabichi? Skukuu yote hii nilitamani niwafukuze hawa wageni. Asilimia kubwa wote waliiponda kabichi, Mwingine anaita Minyoo hiyo Mimi silagi. Mwingine Nani ale mizizi hiyo? Oooh sijawa ng'ombe hiyo kabichi usirudie kunitengea. Huyu ndo balaa eti me yf akipika...
Back
Top Bottom