Ni kwanini wanaume mnaichukia kabichi?
Skukuu yote hii nilitamani niwafukuze hawa wageni.
Asilimia kubwa wote waliiponda kabichi,
Mwingine anaita
Minyoo hiyo Mimi silagi.
Mwingine Nani ale mizizi hiyo?
Oooh sijawa ng'ombe hiyo kabichi usirudie kunitengea.
Huyu ndo balaa eti me yf akipika...