Siku ya jana tulishuhudia.
Siku maalum ya kuonesha vifaa vipya na vya kisasa vya kurushia matangazo ya mpira. Kutoka Azam tv
sambamba na hilo tukathibitishiwa rasmi matumizi ya VAR kwenye ligi yetu kuanzia msimu ujao wa 2024/2025
hakika hili ni jambo ambalo kwa upande wangu litaenda kuikuza...
ligi kuu ina pesa nyingi sana. na possible next season pesa zitaongezeka. iko hivi,
1. Ligi kuu now ina recruitment organisations for players trials in foreign countries.
2. Kuna azam money na possible increase of fund every season. per team.
3. Kuna agency zinaongezeka. possible watu wana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.