Timothy Weah, huyu ni raia wa marekani ila kwa kuzaliwa ,ila baba ake ni raia wa Liberia, Huyu Timothy ni mtoto wa rais wa Liberia ila leo mtoto wake aliitetea Marekani katika kombe la Dunia2022.
Timothy ambaye pia ni mtayarishaji wa muziki (Producer) ila hii kazi ufanya kwa muda wake kozi ni...