Mwanzoni walihitaji kitambulisho cha kura, baadaye wakahitaji cheti cha kuzaliwa. Na kwasasa wanahitaji tuwe na:
Cheti cha kuzaliwa
Cheti kutoka Migration
Cheti cha kidato cha nne
Cheti cha darasa la saba.
Uwe navyo vyote. Ni halali kweli hii?
======
JamiiForums, imezungumza na Mkuu wa...