Inakuwaje napokea taarifa za kutumika kwa kadi yangu ya bima ya afya wakati sijaenda hospital na kadi ninayo?
Tarehe 11 mwezi huu nimeenda hospital X nimepatiwa huduma na nimepata notification msg kuwa kadi yangu imetumika katika hospitali hiyo, nimechukua kadi yangu nimeondoka nayo.
Leo...