kadiri

Kadiri is a Major City in the Anantapur district of the Indian state of Andhra Pradesh. It is a Special Grade Municipal City Council and headquarters of Kadiri Mandal and Kadiri Revenue Division. Kadiri Taluka (Tehsil) was the largest taluk in the state of Andhra Pradesh when there was taluka system in Andhra Pradesh Kadiri is famous for its jasmine and saffron flowers. Kadiri saffron is widely sold in Andhra and Karnataka. The famous Sri Lakshmi Narasimhaswamy Temple is reminiscent of Kadiri to the people of Karnataka, Telangana And Tamil Nadu.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    Mgawanyiko wa vitabu vya biblia kadiri ya katekisimu ya komunio na kipaimara ya jimbo katoliki Moshi

    Mgawanyiko wa vitabu vya biblia kadiri ya katekisimu ya komunio na kipaimara ya jimbo katoliki Moshi Anaujua mgawanyiko huo tafadhali atuwekee hapo
  2. Nigrastratatract nerve

    Pre GE2025 Waziri Mkuu Majaliwa unadhoofishwa kimkakati ulikuwa unaheshimika ila kadiri unavyoambatana nao na kucheza mziki wao unapoteza mvuto, stuka

    Kassim Majaliwa ulijijengea heshima yako kwa muda mrefu Sana ukaonekana ni mtu usiyekuwa masihara na hauna utani lakini naona unaanza kuambatana na kundi lisilo na mvuto nakuhakikishia heshima yako hii uliyojitengenezea itapotea mithili ya mchanga wa mwambao watu wakubwa na heshima zenu mnaanza...
  3. T

    Tuseme tu ukweli, Dkt. Slaa kadiri anavyozeeka anazidi kuvurugika

    Yule Dkt. Slaa 'mtabe' wa kujenga hoja sio Dkt. Slaa huyu anayepuyanga tu bila hoja. Na hapa ndio tunakumbushwa juu ya kuchana na baadhi ya mambo umri ukikutupa mkono, balozi dkt. Slaa kaamua kukataa dhana hii ya wahenga. Kauli ya kusema Waziri Mkuu sio halali kwa sababu mahakama ilibatilisha...
  4. F

    Tundu Lissu ukiwa kwenye mstari wa mbele wa mapambano, yafanye yote kwa weledi na kadiri

    Mheshimiwa Tundu Lissu historia ya vita yako ya kutetea haki na utawala bora Tanzania imeandikwa kwa damu yako mwenyewe, na sina shaka hata kidogo wewe ni mpambanaji wa wapambanaji katika nchi yetu. Kati ya watu wachache wanaoweza kuelezea machungu ya kupigania haki na utawala bora duniani, basi...
  5. MIXOLOGIST

    Naomba niwakumbushe kwamba tutahukumiwa kwa kadiri ya matendo yetu

    Wasalaam wana JF Kwa wale wanaoamini uzima wa milele yaani maisha baada ya kufa yenye raha (mbinguni) na yale yenye mateso (motoni) Ni hivi, kigezo ni kimoja tu matendo yetu, kwa urahisi wa rejea tusome: Ufunuo 20:13 Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa...
  6. Sky Eclat

    Wasiokula nyama wako hatarini kuvunjika mifupa kadiri umri unavyoendelea

    Tafiti iliyofanyika Uingereza ilijumlisha watu 26,000 wenye umri kati ya miaka 26-60. Imeonyesha kuwa ulaji wa nyama unatoa virutubisho vinavyosaidia mwili kuimarisha mifupa. Idadi kubwa ya wanaofanyiwa upasuaji kwa matatizo ya mifupa hasa ya nyonga ni wanawake na wengi ni wale walioacha au...
  7. Peramiho yetu

    Kuleni kadiri ya urefu wa kamba zenu

    Nadhani madhara ya kauli hii mama unaiona sasa Huko Mtwara askari wamefanya vile ulivyowaeleza wamekula na kuua lakini wakauana Uchifu hauna tija katika zama hizi kama ungekuwa na tija Marekani na Ulaya wangekuwa wanaendelea nao Ushauri tu tatua kero za wananchi achana na tuvitu ambavyo...
Back
Top Bottom