Kadiri is a Major City in the Anantapur district of the Indian state of Andhra Pradesh. It is a Special Grade Municipal City Council and headquarters of Kadiri Mandal and Kadiri Revenue Division. Kadiri Taluka (Tehsil) was the largest taluk in the state of Andhra Pradesh when there was taluka system in Andhra Pradesh Kadiri is famous for its jasmine and saffron flowers. Kadiri saffron is widely sold in Andhra and Karnataka. The famous Sri Lakshmi Narasimhaswamy Temple is reminiscent of Kadiri to the people of Karnataka, Telangana And Tamil Nadu.
Kassim Majaliwa ulijijengea heshima yako kwa muda mrefu Sana ukaonekana ni mtu usiyekuwa masihara na hauna utani lakini naona unaanza kuambatana na kundi lisilo na mvuto nakuhakikishia heshima yako hii uliyojitengenezea itapotea mithili ya mchanga wa mwambao
watu wakubwa na heshima zenu mnaanza...
Yule Dkt. Slaa 'mtabe' wa kujenga hoja sio Dkt. Slaa huyu anayepuyanga tu bila hoja. Na hapa ndio tunakumbushwa juu ya kuchana na baadhi ya mambo umri ukikutupa mkono, balozi dkt. Slaa kaamua kukataa dhana hii ya wahenga.
Kauli ya kusema Waziri Mkuu sio halali kwa sababu mahakama ilibatilisha...
Mheshimiwa Tundu Lissu historia ya vita yako ya kutetea haki na utawala bora Tanzania imeandikwa kwa damu yako mwenyewe, na sina shaka hata kidogo wewe ni mpambanaji wa wapambanaji katika nchi yetu. Kati ya watu wachache wanaoweza kuelezea machungu ya kupigania haki na utawala bora duniani, basi...
Wasalaam wana JF
Kwa wale wanaoamini uzima wa milele yaani maisha baada ya kufa yenye raha (mbinguni) na yale yenye mateso (motoni)
Ni hivi, kigezo ni kimoja tu matendo yetu, kwa urahisi wa rejea tusome:
Ufunuo 20:13
Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa...
Tafiti iliyofanyika Uingereza ilijumlisha watu 26,000 wenye umri kati ya miaka 26-60. Imeonyesha kuwa ulaji wa nyama unatoa virutubisho vinavyosaidia mwili kuimarisha mifupa.
Idadi kubwa ya wanaofanyiwa upasuaji kwa matatizo ya mifupa hasa ya nyonga ni wanawake na wengi ni wale walioacha au...
Nadhani madhara ya kauli hii mama unaiona sasa
Huko Mtwara askari wamefanya vile ulivyowaeleza wamekula na kuua lakini wakauana
Uchifu hauna tija katika zama hizi kama ungekuwa na tija Marekani na Ulaya wangekuwa wanaendelea nao
Ushauri tu tatua kero za wananchi achana na tuvitu ambavyo...