Imani za kishirikina zimekuwepo sana kwenye chaguzi zetu kuu. Sana.
Huu ni mwaka uelekeo wa uchaguzi Mkuu 2025. Kumekuwa na wimbi kubwa la watoto kuibwa na kuuawa. Mara nyingi sana tunasoma habari hizo.
Rais anasema ni drama. Imenishtua. Hasemi kuwa polisi wafanyie kazi hizo "tetesi" ikiwa si...