Mafuriko yatikisa Bukoba, binti afariki dunia kwa kusombwa na maji
Ijumaa, Mei 10, 2024
Baadhi ya maeneo yaliyokumbwa na mafuriko Manispaa ya Bukoba.
Muktasari:
Msichana aliyebainika kuwa mkazi wa Mtaa wa Kasarani Kata ya Bakoba, amefariki dunia baada ya kusombwa na maji wakati akitoka nje...