kahata

Francis Kahata Nyambura (born 4 May 1992) is a Kenyan footballer who is currently playing for Tanzanian Simba SC. He plays as a left midfielder and an attacking midfielder he has appeared for the Kenya national team.

View More On Wikipedia.org
  1. F

    Wachezaji wapya wa simba, ni nani anamzidi kiwango Francis kahata alieachwa na simba?

    Simba mpya haipati matokeo mazuri msimu huu. Simba imesajili wageni wengi na kuwaacha wageni wengine kama francis kahata. Je katika wachezaji wapya wa simba ni nani anamzidi kiwango Francis Kahata?
  2. F

    Yanga tumsajili Kahata. katika nafasi zilizoongezeka

    Habari wadau. Ushauri kwa uongozi wa yanga. Kahata anatufaa sana
  3. B

    Yanga mnunueni Kahata, Kagere, Ame, Dube na Mkude

    Yanga kama wanataka kuongeza kikosi chao waongeze wachezaji wafuatao kutoka Simba. Kahata ni bonge la mchezaji ila Simba hana namba, Kagere the same, ame bonge la beki tatizo namba ni issue, mkude kupata namba tangu aje lwanga imekuwa shida. Striker mchukue Dube, kutoka Azam, mchukueni striker...
Back
Top Bottom