kajala masanja

Kajala Masanja born in 22 July 1983 (age 38) is an actress and film star in Tanzania. She celebrates her birthday on 22nd July each year. She won the 2016 EATV (East Africa Television) award for actress. She is married to former banker Faraji Chambo.Kajala has a beautiful and cute daughter Named Paula Paul Majani who is dating Kash.
She appeared in the 2012 film Kijiji Cha Tambua Haki with Steven Kanumba. She is the subject of industry gossip. She was at the funeral of Agnes Masogange in 2018.She was in Basilisa (2011) and Jeraha la Moyo (2012).The Daily Nation reported in November 2015 that she had fallen out with former friend Wema Sepetu.

View More On Wikipedia.org
  1. Rwetembula Hassan Jumah

    Hivi chanzo cha Kajala Masanja kupelekwa jela ilikuwaje

    k
  2. Nobunaga

    Je, unamfahamu Kajala Masanja?

    KAJALA MASANJA: KUZAMA KUZIMU NA KUIBUKA TENA KILELENI. Moja ya wanawake wanaopaswa kupigiwa mfano kwa aina ya maisha ya ajabu sana ambayo ameyapitia basi ni mwanadada Kajala Masanja. Misukosuko, changamoto, makosa aliyoyafanya na hatimaye leo hii kuweza kuibuka kuwa moja ya wanawake maarufu...
  3. MimiNiMakini

    Kati ya Muziki na Mpira wa Tanzania kipi kinafuatiliwa zaidi?

    Tukio la Harmonize kumvisha Pete ya Uchumba Kajala na Tukio la Yanga kusherekea Ubingwa wa Ligi kuu yameenda sambamba sana. Inadaiwa kwamba Tukio la Harmonize kumvisha pete Kajala limefunika Tukio la Yanga, maana yake ni kwamba Mtaani watu wanamjadili Harmonize na Kajala kuliko Ubingwa na...
  4. Frumence M Kyauke

    Harmonize: Natumaini urafiki wangu na Kajala Masanja utarejea

    Hivi majuzi mwanamuziki Rajab Abdul Kahali almaarufu kama Harmonize alizindua albamu yake ya pili 'High School'. Staa huyo wa Bongo alitumia ukurasa wake wa Instagram kufafanulia mashabiki wake maana ya nyimbo ishirini zilizo kwenye albamu yake mpya. Harmonize alisema wimbo nambari saba katika...
  5. warumi

    Kajala Masanja simuelewagi

    Huyu Mama si ndiye aliyekua anamshutumu Hamisa kumpeleka mwanae kwa Rayvanny , Kajala huyu huyu alimpeleka Rayvanny polisi kisa anatembea na mwanae ambaye ni mwanafunzi, leo hii anamuachia tena yule yule aliyemdhalilisha mwanae mitandao ndo adate na mwanae na she doesn’t care at all. Mh nilikua...
Back
Top Bottom