Rayvanny, Vannboy aka chuiii, toka label nambari moja East and Central Africa ya WCB wasafi, kupitia account yake ya Instagram amemuomba msamaha Kajala.... Kwa tukio lililotokea hivi karibuni la kusambaa kwa video za faragha akiwa na mwanawe Paula .....
Anaandika Vannyboy;-
"Duniani wakati...