Brother ni mwalimu huko mkoani Arusha, brother alikopa pesa sijui ni tsh. Ngapi?
Ila alichofanyia ni kichekesho, alinunua tv kubwa, generator, king’amu, akarepea na nyumba anayoishi pale shuleni.
kwa sasa anamalimbikizo ya madeni siyo kitoto, mke wake aliniambia kwa sasa kila mwisho wa mwezi...