Dar/Tabora. Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imeeleza namna ilivyofichua sakata la aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, huku wananchi kadhaa wakijitokeza kuelezea malalamiko yao dhidi yake kwa Takukuru.
Wakati hayo yakijiri, Takukuru...