KALAMU YA ALHAJ ABDALLAH TAMBAZA
''Lakini Abdallah Laatasi, ambaye ni mjukuu wa Diwani Omar Laatasi, anakumbukwa zaidi katika mchango wake katika kufanikisha kupatikana uhuru wa nchi hii; kwani yeye na hayati mkewe Bi Chiku bint Said Kisusa (Mama Sakina); walikuwa mstari wa mbele kukijenga...