Gerard Kamanda wa Kamanda (10 December 1940 – 21 January 2016) was a Congolese politician who stood for President in the 2006 election in the Democratic Republic of the Congo. He was born in Kikwit. He previously worked as an advisor to Mobutu Sese Seko and during the 1990s, Kamanda served in a variety of positions, including deputy prime minister, and foreign minister three times; from 1982 to 1983, from 1995 to February 1996 and from December 1996 until May 1997 when the Mobutu government collapsed. Kamanda was later the minister of scientific research in the transition government.Kamanda represented the Nationalist Common Front party, established in 1990, which aims to modernize Congo by emphasizing science and technology. He raised concerns of electoral irregularities with the Independent Electoral Commission. According to the provisional results his presidential campaign was unsuccessful, receiving less than 3% of the vote.
John Peter ni nani kwake? Kwanini ametoa taarifa kwa umma ya kumlinda kwa kusema dereva alishambuliwa na kitu chenye ncha kali wakati alishambuliwa kwa risasi!
https://x.com/tanpol/status/1889867546050039931?t=oqQZKG55TfluM2K6FrYdqg&s=19
Sikiliza mashuhuda waliokuwepo eneo la tukio wakitoa...
December 2023 Idf ilitangaza kumuua kwenye shambulizi kamanda wa Hamas Haitham Al hawajri
Siku ya jana kwenye makabidhiano ya mateka kamanda Haitham alionekana akimu-escort Keith siege na kumkabidhi kwa red cross.
Ieleweke siku kadhaa nyuma kamanda Hussein fayyad aliyetangazwa kwamba aliuliwa...
Miongoni mwa makamanda muhimu Israel iliotangaza kuwaua ni pamoja na Mohammed Deif na mwenzake Hussein Fayyad aliyetajwa kama mtaalamu wa kutengeneza makombora ya Hamas .
Huku majaaliwa ya Mohammed Deif yakiwa bado hayajathibitika, mwenzake Hussein Fayyad ameendelea kuonekana kwenye mitaa ya...
All the leaders of the Zionist unit that participated in the assassination of the martyr mujahid commander Yahya al-Sinwar months ago in Rafah were killed, as the unit was killed after falling into a tight ambush in Beit Hanoun in the northern Gaza Strip 🇵🇸🔻
Yasemekana kamanda Mbowe ameadimika.
Kwamba tofauti na ilivyokuwa, simu hapokei tena:
Ashauriwe mwamba simu zote si za kuomba fadhila, zingine zimesheheni jumbe zenye kuweza kuunusuru umoja wetu kwenye nyakati hizi tete kabisa.
Zaidi sana akumbushwe mwamba: "wajumbe hawauwawi!"
Pia soma...
Jamii yatakiwa kutimiza wajibu wake kuzuia ongezeko la watoto wanaoishi katika mazingira magumu
Hayo yamezungumzwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Benjamin Kuzaga Desemba 25, 2024 alipotembelea Kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum cha...
Mwanasiasa na nabii Godbless Lema ameweka video kwenye ukurasa wake wa X ikiwa na ujumbe wa kusisitiza kutoamini mwanasiasa yoyote.
Tunajua Mawazo alikuwa akilalamika kuna watu ndani ya chama chake wanataka kumdhuru kabla ya kufikwa na umauti wake.
Ni ukweli uliwazi kwamba Mbowe akishinda katika nafasi ya uenyekiti, CHADEMA haitakuwa na nguvu tena ya kupambania dola .
Hii ni kutokana na idadi kubwa ya wafuasi kuhitaji mabadiliko ambayo yanaonekana ni vigumu kuyapata CDM kwa sasa .
Hivyo kuna weza kuwa na haja ya kukipa chama kingine...
Mwenyekiti anaye maliza muda wake, Freeman Mbowe amesema ya kwamba iwapo ataona chama chake Cha CHADEMA kinataka kuzamishwa basi ataingia mzigoni. Kwa maana nyingine atagombea uenyekiti wa CHADEMA. Je nani anataka kugombea uenyekiti akizamishe chama.
Kwa kauli hii ya Mbowe Ina maana atagombea...
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Jumanne Muliro, amesisitiza kuwa kifo cha mfanyabiashara Daisle Ulomi aliyetoweka katika mazingira yenye utata Desemba 11, 2024 akiwa kazini kwake Sinza Kijiweni, kimesababishwa na ajali na si vinginevyo.
“Ukiniambia simu ilisoma wao ni watu...
% kubwa ya hawa makamanda walioongoza haya mapinduzi ni tawi la Al- Qaeda (Kikundi cha Waislam wenye itikadi kali) ambacho Us alisema ni MAGAIDI. Al- Qaeda ingawa kwa sasa hawavumi sana lakini bado wamo na wanamatawi yao km IS nk.
Je US atakuwa tayari kufanya kazi na MAGAIDI wakati kwake...
Kamanda Muliro nafahamu unasoma hapa jukwaani.
Inawezekana mmejiundia ama kujijengea kasumba kwamba wanasiasa wanafurahia kazi yenu ya kutumia nguvu bila mizania. Mmekuwa mkiwakandamiza na kuwadharau sana wananchi wanapoonewa na askari wa chini yenu.
Mmejipa majukumu ya kisiasa kinyume na...
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro anazungumza na Vyombo vya Habari.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaaam linawashikilia wanaotuhumiwa wanne, Deogratius Paul Massawe (40), Bakari Idd Bakari (30), wote ni kuli wa Tegeta kwa Ndevu, Omary Issa...
Taarifa iliyotolewa na jeshi hilo limesema, Abu Ali Rida, kamanda wa Hezbollah kwenye eneo la Baraachit, kusini mwa Lebanon "ameuawa" katika shambulizi la anga.
Jeshi la Israel limesema Rida alikuwa akiongoza shughuli za kigaidi ikiwa ni pamoja na kupanga mashambulizi yaliyowalenga wanajeshi na...
Nimeona nije na uzi maalum wa kupeana updates wa vita mpya inayotarajiwa kulipuka kati ya Iran na Israel muda wowote kuanzia sasa
Inaonekana inayokuja mashariki ya kati itakua sio ya mchezo
Yemen tayari keshaandaa wanajeshi laki 4
Iraq kuna wanajeshi laki 2 na nusu
Hezbollah wapo zaidi laki...
genocide
hamas
hezbollah
houthi
idf
iran
iraq
israel
kamanda
kiarabu
kuishambulia
lebanon
maalumu
majeshi
nato
nchi za kiarabu
palestine
shambulizi
syria
uzi maalumu
wanajeshi
wanajeshi wa israel
wapenzi
Wadau hamjamboni nyote?
Hezbollah yaanza kujibu mapigo kibabe
Taarifa kamili hapo chini:
Two Israeli reservists were killed and three others were wounded on Tuesday, as the Israeli military battled Hezbollah in Lebanon and the Iran-backed terror group fired dozens of projectiles at north...
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Mungu ibariki nyumba ya Yakobo
October 23, 2024
IDF: Prominent member of Hezbollah drone unit killed in airstrike
By Emanuel Fabian Follow
Today, 9:12 am
A prominent member of Hezbollah’s drone unit was killed in an Israeli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.