kamanda muliro

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Pre GE2025 Kamanda Muliro: Wao wanajiita CHADEMA, sisi tunajua ni Watanzania. Tutamshughulikia yeyote wasijitoe ufahamu

    Wakuu, Kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es salaam Jumanne Muliro amesema jeshe la polisi lipo imara kwa ajili ya kusimamia uchaguzi mkuu wa chadema, kuhakikisha unafahamika kwa amani na utulivu. Hata hivyo Kamanda Muliro ameongeza kuwa hawatasita, kumshughulikia mtu yeyote atakayeleta...
  2. Mindyou

    Pre GE2025 Kamanda Muliro: Tumejipanga kuimarisha ulinzi Uchaguzi wa CHADEMA. Sisi sio wageni hapa Mlimani City, wanaoshangaa ndio wageni

    Wakuu, Kama mnavyojua leo ndo ile siku ya Uchaguzi wa Nafasi ya Uenyekiti ndani ya CHADEMA na saa chache kabla ya Uchaguzi huo kuanza Jeshi La Polisi limetoa msimamo wake Akizungumza na Samuel Sasali, Kamanda Muliro amesema kuwa wamejipanga kutoa ulinzi katika eneo la Mlimani CIity na kwamba...
  3. S

    Kamanda Muliro, wewe na watu wote wanajua Polisi wawili uliowasimamisha kazi unawaonea, walichofanya ni utaratibu wa siku nyingi wa traffic polisi!

    Kamanda Jumanne Muliro, tuache unafiki, tuache kuoneana. Unatutangazia kuwasimamisha hawa Polisi wawili walioonekana wakichukua fedha kwa makondakta wa dadadala kwa sababu wamefanya kosa au kwa sababu wameanikwa mitandaoni? Ina maana hujui kwamba kila siku traffic wanaokuwa barabarani wanafanya...
Back
Top Bottom