kamari tanzania

Maxine Kamari Clarke (born 3 April 1966) is a Canadian-American scholar with family roots in Jamaica. As of 2020, she is a distinguished professor at the Centre for Criminology & Sociolegal Studies and the Centre for Diaspora & Transnational Studies at the University of Toronto. In 2021, she was named a Guggenheim Fellow.

View More On Wikipedia.org
  1. Magical power

    Nyie haya mambo ya kubeti mtu asije kuthubutu kama anajua hela yake ni ya mawazo

    Nyie haya mambo yakubeti mtu asije kusubutu kama anajua hela yake ni ya mawazo Jana ilikua nusu nife kwa presha kwasababu ya betting. Sikuhiyo nimekaa na mtu wangu waheshima kabisa ninayemuheshimu, katika story za hapa napale nikamwambia aisee madirisha yangu yapo kwa fundi alafu sina hela hapa...
  2. Mindyou

    Morogoro: Mwanaume mmoja amchoma mwenzake kisu kifuani na kumuua kisa mia 200

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamzuilia Kulwa Bosco, anayejulikana kwa jina maarufu la Rasta, ambaye ni mfugaji mkazi wa Kijiji cha Sinyaulime, Tarafa ya Ngerengere, wilayani Morogoro, kwa tuhuma za mauaji. Inadaiwa kuwa alimuua Hussein Nyabu (35) kwa kumchoma kisu kifuani, kitendo...
  3. Mwamuzi wa Tanzania

    Imekuwa kero sana ukiwasha simu tu mara mimeseji ya matangazo ya kamari hiyo

    Ukiwasha simu tu mara mimeseji ya matangazo ya kamari hiyo. Hongera umeshinda sh. kadhaa, mara mizunguko ya kasino huku hata huwafahamu. Au hawa wa mikopo mtandaoni wamehamishia majeshi kwenye kamari? Halafu wasanii wa vichekesho ndio waenezaji wa upuuzi wowote hapa nchini. Soma Pia: Ushauri...
  4. F

    Serikali fungieni mchezo wa kubeti wa Aviator (kindege), unamaliza vijana

    Huu mchezo kwa Jina 'Aviator' maarufu kindege umekuwa shida kubwa sana kwa vijana hasa watafutaji. Ukiingia kucheza au kuchunguza upande wa charting utaona vijana wanavyoliwa na kulaani huu mchezo ambao umewarudisha nyuma sana kimaendeleo na hata nimesikia kuna jamaa amejiua kwa kuliwa kiasi cha...
Back
Top Bottom