kamati ya maridhiano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sir John Roberts

    Hivi hii kamati ya maridhiano ya kitaifa inataka watanzania turidhiane kuhusu mgogoro gani?

    Kiukweli binafsi sielewi hii kamati ina umuhimu gani kwa taifa hili naona kama ni kajitaasisi ulaji kameundwa ili kulinda maslahi ya watu Fulani hivi. Watanzania tunataka kuridhiana kuhusu kitu gani?
  2. Vichekesho

    Msigwa aingizwe kwenye kamati ya maridhiano aiwakilishe CCM kuridhiana na CHADEMA

    Mh Tundu Lissu amekuwa akinyooshea kidole kitendo cha Mwenyekiti wake kushiriki katika maridhiano na CCM. Amekuwa akisema kuwa CCM hawaaminiki. Kwakuwa Lissu anakiri kuwa anamwamini Mchungaji Msigwa na ndiye aliyeshika chupa ya damu toka Dodoma hadi Nairobi, basi CCM impe jukumu mchungaji...
  3. voicer

    Sheikh Alhad Mussa Salum huna ubavu kuufunga mjadala huu

    Nimemsikiliza huyu aliyewahi Kuwa sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam, almaarufu Alhad Mussa Salum. Amekuja na tamko la hiyo wanayojiita kamati ya maridhiano na amani. Anaongea kinafiki, akiomba viongozi wa Dini kutorushiana maneno kutokana na kadhia ya mkataba wa DP-WORLD. Ameenda mbali na kusema...
Back
Top Bottom