Je, hii kamati, huwa inapangiwa sehemu za kutembelea au wanajipangia?
Naona wanatembelea viwandani tu ambako waathirika ni watu chini ya 1,000, wakati masoko yote ni machafu kupidukia na inaathiri DSM nzima.
Waende soko la Stereo wakajionee na waipige faini manispaa ya Temeke hizo pesa wapewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.