kamati ya utekelezaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Pre GE2025 Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Jumuiya ya Wazazi CCM- Mhandisi James Jumbe, ajinasibu kuwa CCM itashinda 2025

    Yani kila mwaka CCM sera zao ni maendeleo sekta ya afya na elimu, miaka zaidi ya 60 ya uhuru bado sera zao wanazoona zitawapitisha ni kama za miaka ya 70 huko. Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ===...
  2. The Watchman

    Pre GE2025 Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Iringa Zainab Mwamwindi aongoza kikao cha kamati ya utekelezaji mkoa

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Iringa Ndugu Zainab Mwamwindi hivi leo Februari 15 ameongoza kikao maalum cha Kamati ya Utekelezaji ya Baraza la UWT Mkoa wa Iringa kilichofanyika katika ofisi za UWT Mkoa wa Iringa.
  3. K

    Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023 ni nzuri kwenye makaratasi ila utekelezaji wake hauna maandalizi

    Serikali kupitia Wizara ya Elimu na Ofisi ya Rais, Serikali za Mitaa na Utawala Bora (OR-TAMISEMI), imeanza utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023 kwa Shule za Sekondari kuanzia Januari 2025. Kwenye makaratasi, sera hii ni nzuri kwani imelenga kukuza vipaji na...
  4. J

    Mwenyekiti Kawaida (MCC) aongoza kikao cha kawaida cha kamati ya utekelezaji makao makuu ya UVCCM Dodoma

    MWENYEKITI KAWAIDA(MCC) AONGOZA KIKAO CHA KAWAIDA CHA KAMATI YA UTEKELEZAJI MAKAO MAKUU YA UVCCM DODOMA 📍UVCCM TAIFA 16 Septemba,2024 Mwenyekiti wa UVCCM Taifa ndugu Mohammed Ali Kawaida (MCC) Ameongoza kikao Cha Kawaida Cha kamati ya Utekelezaji Maka makuu ya UVCCM Dodoma, tarehe 16 Septemba...
  5. Stephano Mgendanyi

    Mwenyekiti Kawaida aongoza Kikao cha Kamati ya Utekelezaji ya Baraza Kuu UVCCM Taifa

    Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Komredi Mohammed Ali Kawaida (MCC) ameongoza kikao cha Kamati ya Utekelezaji ya Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Taifa tarehe 05 Julai, 2024 Ofisi Ndogo za Makao Makuu Upanga Jijini Dar es salaam. #TunaendeleaNaMama #Kaziiendelee...
  6. Ojuolegbha

    Chatanda aongoza kikao cha kamati ya utekelezaji ya Baraza Kuu la UWT Taifa

    Mwenyekiti wa UWT Taifa Ndg. Mary Pius Chatanda, tarehe 04 Julai 2024 ameongoza Kikao cha Kamati ya Utekelezaji ya Baraza Kuu la UWT Taifa kilichofanyika katika ofisi ndogo za CCM lumumba jijini Dar es Salaam.
  7. Ojuolegbha

    Kikao cha Kamati ya Utekelezaji ya Baraza Kuu la UWT Taifa kufanyika Julai 4, 2024

    Kikao cha Kamati ya Utekelezaji ya Baraza Kuu la UWT Taifa.
  8. Stephano Mgendanyi

    Kamati ya Utekelezaji Baraza Kuu UWT Taifa Wanolewa Kuhusiana na Sera ya Jinsia

    🔰🔰🔰WAJUMBE WA KAMATI YA UTEKELEZAJI YA BARAZA KUU LA UWT WANOLEWA KUHUSIANA NA SERA YA JINSIA 📍Dodoma Wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza kuu la UWT chini Mwenyekiti Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC), wameshiriki semina ya masuala ya Sera ya jinsia. Leo Tarehe 19 Februari, 2024. Semina...
  9. S

    Kikao cha kamati ya utekelezaji UVCCM Taifa

    KIKAO CHA KAMATI YA UTEKELEZAJI UVCCM TAIFA Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa Komredi Mohamed Ali Kawaida (MCC) @comrade_kawaida Kuongoza Kikao cha Kamati ya Utekelezaji UVCCM Taifa Kitakachofanyika Tarehe 25 Juni, 2023 Makao Makuu ya UVCCM Dodoma...
Back
Top Bottom