kamati za bunge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Yoda

    Mahojiano ya Kamati za bunge yawe yanafanyika hadharani(public hearing), media zirushe live

    Hizi kamati za bunge ambazo zimekuwa zikiita na kuhoji watu kama CAG Assad, Pascal Mayalla , Mpina na wengine wengi ni vyema sasa zikawa zinarusha live mahojiano hayo kama ambavyo inafanyika kwenye vikao vya bunge. Demokrasia halisi duniani ndivyo ambavyo zinafanya kazi zake kwa sasa, huko...
  2. OKW BOBAN SUNZU

    Tetesi: Kuvunja Kamati za Bunge: Spika aseme ukweli!

    Wiki iliyopita Spika alivunja baadhi ya Kamati za Bunge na kuziunda upya. Ikumbukwe kwamba kamati hizo zilivunjwa wakati vikao vya kamati vikiendelea sambamba na taasisi za serikali kuhojiwa mbele ya kamati. Vyanzo vyangu vimeniambia kwamba wabunge wa kamati walizungukana na kuvuta takrima kwa...
  3. K

    Katiba Mpya ihusishe kamati za bunge kwenye teuzi muhimu

    Naunga mkono hoja hii
  4. John Haramba

    Jerry Silaa: Kamati za Bunge zikapige picha kwenye daraja la Tanzanite

    Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Jerry Silaa ameipongeza serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kazi yake hasa ukamilikaji na kuanza kutumika kwa daraja la Tanzanite na kuziomba kamati za Bunge za mwezi Machi kufanya ziara na kupiga picha. Kauli hiyo ameitoa hii leo Februari 4, 2022, Bungeni...
  5. J

    Mtihani: CAG mstaafu azitaka kamati za bunge PAC na LAAC zitembelee taasisi zenye hati chafu badala ya kukimbilia kwenye hati Safi!

    CAG mstaafu mh Uttoh amezitaka kamati za bunge za PAC na LAAC kuwa strategic zinapoenda kukagua taasisi za serikali badala ya kujiendea tu kimazoea. Uttoh amesema ni vema bunge likatembelea taasisi zenye hati chafu na zile ambazo CAG ameshindwa kutoa hati ( disclaimer) au zile ambazo CAG...
  6. beth

    Spika Ndugai azitega Kamati za Bunge, azitaka ziache kufanya kazi kwa mazoea

    Spika wa Bunge, Job Ndugai, ameziagiza kamati za kudumu za Bunge, ziache kufanya kazi kwa mazoea na kubweteka, zikiamini muda bado upo, hali inayoweza kusababisha zimalize miaka mitano bila kufanya lolote kusaidia na kuishari serikali kwa manufaa ya taifa. Ndugai alitoa agizo hilo bungeni jana...
Back
Top Bottom