Wakuu salama?
Kulikuwa tetesi toka pande mbalimbali kuwa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete atagombea nafasi hii ya Uenyekiti wa Kamisheni ya Ummoja wa Afrika Mashariki, na kulikuwa na kama ka msuguano hivi baina ya wanaomuunga mkono Jakaya na wale waliokuwa wanamuunga mkono Raila Odinga.
Pia soma...