kampala university

Kampala University (KU) is a private, chartered, recognized and accredited university in Uganda.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    Chuo Kikuu Kampala kinawatesa Watanzania

    Chuo kikuu cha Kampala tawi la Tanzania kimekuwa na tabia ya kuwatesa watanzania wanaosoma kozi mbalimbali hapo chuoni kwa kuwawekea mazingira magumu hasa inapofika nyakati za mitihani ili washindwe kufanya mitihani na badala yake wafanye mitihani ya marudio ambayo inalipiwa bei ghali sana...
  2. A

    DOKEZO Chuo Kikuu cha Kampala chini Tanzania kinawadhulumu wafanyakazi wake

    Chuo kikuu cha Kampala nchini Tanzania (KIUT) kimekuwa na utaratibu au mazoea ya kukwepa kulipa Wafanyakazi walioacha kazi au kuondoka chuoni hapo mishahara ambayo hayakulipwa kipindi walipokuwa wakifanya kazi chuoni, hata hivyo Wafanyakazi wanaoendelea na kazi wengi bado wanadai mishahara...
  3. Mben

    Kamwe USIJARIBU kusoma Chuo cha Kampala Dar es Salaam

    Tangu kilipoanzishwa tu kimekua na changamoto nyingi zikiwepo usajili na kutofata utaratibu wa Tanzania. Kwa waliomaliza 2013 rudi nyuma hawatoi transcript. Baadhi ya couruse zao hazitambuliki nacte au Tcu, ushahidi nnao. Kuna watu wana transcript za uganda ambazo zina masomo hawakuwahi...
Back
Top Bottom