kampeni 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Pre GE2025 Mbunge wa Shinyanga Mjini Patrobas Katambi amuombea kura za Urais Rais Samia kuelekea Uchaguzi Mkuu. CCM mmeanza kampeni?

    Mbunge wa Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, amewahimiza wakazi wa jimbo lake kumpigia kura Rais Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi mkuu wa 2025. Akiwa katika ziara yake, Katambi alikutana na Wajumbe wa CCM wa Kata ya...
  2. Mindyou

    Pre GE2025 CCM Morogoro waonyana tabia ya makada kuanza kampeni kabla ya muda elekezi. Mjumbe wa kamati kuu atoa neno

    Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Morogoro kimewataka wanachama wa chama hicho pamoja na watia nia katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu kuacha kujishughulisha na kampeni za uchonganishi ambazo tayari baadhi ya watu wamedaiwa kuanza kupita mtaani kuomba kura badala yake...
  3. Mindyou

    Pre GE2025 Mwenyekiti wa CCM Morogoro awapiga biti kali wagombea walioanza kampeni kabla ya muda uliopangwa

    Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Morogoro Joseph Masunga amekemea vikali tabia inayofanywa na baadhi ya viongozi kufanya kampeni za chini chini kabla ya wakati kwani ni kinyume na Sheria za uchaguzi. "Tunaelekea kwenye Uchaguzi ambao utafanyika Oktoba mwaka huu zipo tetesi kwamba kuna watu wanapita...
  4. T

    Baba Levo: Kama CCM haitowapa kazi wasanii kwenye kampeni 2025, basi kuna dalili kubwa wasanii wakawehuka

    Baba Levo kupitia ukurasa wake wa Instagram ameeleza kuwa; Nimeiangalia GAME Kwa Upana Wake NA Kuangalia Kipato Cha Msanii Mmoja Mmoja Nimegundua Vitu Vitatu ..! 1 MZIKI HAUNA NGUVU YA KUKAA TREND WIKI TATU..! Tafsiri Yake Ni Kwamba Msanii Anatumia NGUVU Kubwa Kupata HIT SONG Lakini Haidumu...
  5. Cute Wife

    Pre GE2025 Mary Chatanda awaonya Madiwani na Wabunge wanaojipitisha kwa Wajumbe ili waungwe mkono

    Wakuu, Mary ameenda kutoa onyo hilo huku akiwa mgeni mresmi wenye hafla ya kutoa 'zawadi' kwa wananchi, si ndio yale yale ama? Au ukiongozana na kiongozi mwingine ndio inaacha kuwa rushwa? ===== Mwenyekiti wa UWT Taifa Mary Pius Chatanda (MCC) amekasirishwa na tabia ya baadhi ya wanasiasa...
  6. Mindyou

    LGE2024 Njombe: Wananchi wataka wanasiasa kufanya kampeni za kistaarabu na zisizo na matusi kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa

    Wakati zoezi la uchukuaji fomu za kugombea uenyekiti na ujumbe wa serikali za mitaa likiendelea nchini, wakazi wa Mtaa wa Kambarage mjini Njombe wameomba kampeni za kistaarabu zisizo na lugha za matusi pindi zitakapoanza. Wananchi hao wamesisitiza umuhimu wa kampeni zenye kujenga umoja na...
  7. Prince_Nurudin_Tz

    ILA CCM WANA MAMBO BWANA

    Wamekuja na huu mzigo sijui wameagiza contena ngapi uko china Na baadhi ya wabongo walivyo wapuuzi wata piga kula kisa kapewa kiatu na sio kuchambua sela
  8. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Watanzania wezangu tusilambishwe sukari na wanasiasa, bali tuzipime hoja zao kama kweli zitaleta chachu ya maendeleo

    Nchi kwetu Tanzania katika kipindi hichi cha miaka hii 2, taifa litakuwa bize kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao utafanyika November 27, 2024. Na uchaguzi mkuu ambao utafanyika 2025. Katika kipindi hiki wanasiasa wameshaanda sukari zao za hoja kuja kudanganya au kusema ukweli wakati...
  9. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Makalla: Hatuhitaji mbereko yoyote Tutashida Uchaguzi kwa haki

    Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema wamejipanga kuwafikia wananchi kupitia ziara zinazofanywa na viongozi wao ikiwa ni maandalizi kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa na uchaguzi mkuu. Makalla amesema hayo leo Jumanne Agosti 6, 2024 katika...
  10. Unavoidable Servant

    Pre GE2025 Rais Samia kutumia ziara ya kiserikali kufanya kampeni za CCM siyo sahihi hata kidogo

    Ccm si chama cha kufanya nao maridhiano, ni genge la wahuni. Mama Samia siku ya 5 leo yupo Morogoro kwa ziara rasmi ya kiserikali lakini badala yake ziara hiyo inatumika kufanya kampeni chafu za CCM. Kwa wanaofuatilia hiyo ziara tayari Hadija Kopa ameshaanza kuimba ule wimbo wao wa kuibia...
  11. S

    Application za mikopo ya mtandaoni, ni mradi wa vigogo kukusanya hela za kampeni 2025 na ndio maana hii biashara inafanyika kama nchi haina serikali?

    Naomba kwa kuuliza maswali haya: Hivi Mtanzani wa kawaida unaweza kuendesha biashara ambayo haina vibali vya serikali huku ukitumia mitandao ya simu kufanya biashara na serikali ikashindwa kukubaini/kukukamata? Tuchukulie imeshindwa kukukukamata, je serikali itashindwa hata kutoa agizo kwa...
  12. BLACK MOVEMENT

    Pre GE2025 Baada ya kugawa pikipiki za Samia, inadaiwa pia kuna Helkopta na Magari 400 kwaajili ya Kampeni za mwakani

    Maandalizi ya kampeni za mwakani yameisha kamilika upande wa Mama na kilichobakia ni kipenga kipulizwe tu. Inadaiwa Pikipiki zaidi ya 18,000 ni zawadi kutoka UAE na pia kuna Helcopta moja na Magari 400. Inadaiwa hawa ndio wanao miliki Loliondo na pia wanataka kupewa eneo la Poli la Longido ili...
Back
Top Bottom