Ccm si chama cha kufanya nao maridhiano, ni genge la wahuni.
Mama Samia siku ya 5 leo yupo Morogoro kwa ziara rasmi ya kiserikali lakini badala yake ziara hiyo inatumika kufanya kampeni chafu za CCM.
Kwa wanaofuatilia hiyo ziara tayari Hadija Kopa ameshaanza kuimba ule wimbo wao wa kuibia...