kampuni ya mikopo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Hypersonic WMD

    Nipeni utaratibu wa kusajili Kampuni ya mikopo?? siyo microfinance

    Hii biashara nimegundua inaendana na mm!! Nipeni tips naanzia wap Taarifa kama Faida na hasara Kodi yake serikalini Changamoto Process za usajili nk yaan A to Z
  2. K

    Changamoto ya msimamizi wa kampuni ya mikopo kutokuwa na time management

    Wakuu habari za muda huu ,hope mko poa walio wagonjwa ,wenye huzuni Mwenyezi Mungu awasaidie Hivi karibuni nilipata kazi katika kampuni inayojishughulisha na mikopo mkoa (X) as a guest kwenye hii kazi na mshahara ni 200k per month n+ plus posho kwa mwajiriwa miezi 3 ya mwanzo Lakini...
  3. Mshana Jr

    Kampuni ya mikopo ya OYA itakuwa na mwisho mbaya sana kama ilivyokuwa kampuni ya udalali ya MAJEMBE

    Utu ni jambo muhimu sana kwenye huu uumbaji wa Mwenyezi Mungu Kampuni ya mikopo midogomidogo ya OYA si kampuni rafiki na yenye UTU kwa wakopaji wake. Pamoja na kuwa na vibali halali vya kuendesha hiyo biashara lakini matendo ya wafanyakazi wake kwa wakopaji wanaoshindwa kurejesha kwa wakati...
  4. A

    KERO Nimetishiwa kudhalilishwa na mtoa huduma wa Pesa X

    Habari ninaomba msaada wa kisheria ili haki iweze kutendeka , nimetishiwa kudhalilishwa na Mtoa huduma wa Pesa X kama inavyooneka hapo chini.
  5. A

    KERO Taarifa Binafsi: Kampuni ya Mikopo inayojiita Credit Land imenifanyia udhalilishaji

    Nimepitia udhalilishaji wa kimtandao naomba kupata utaratibu nifanyeje tafadhali. Wamenidhalilisha vibaya mno wameniundia mpaka group, wameadd ndugu zangu na marafiki wakidai ni tapeli nimekaidi kulipa mkopo wao na matusi juu. Kampuni inaitwa Credit Land
  6. Lady Whistledown

    Kenya: Kampuni ya Mikopo yapigwa faini kwa kuaibisha na kunyanyasa wateja kupitia taarifa zao binafsi

    Kampuni ya kutoa Mikopo kwa Njia ya Mtandao ya #WhitePathLTD, imepigwa faini ya Ksh. 495,614 sawa Tsh. Milioni 8.6 kwa madai ya kuingilia na kutumia taarifa binafsi za wateja kufuatilia wadeni wake. Ofisi ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ilisema ilipokea takriban malalamiko 150 dhidi ya kampuni...
Back
Top Bottom