kampuni ya oya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    Wafanyakazi wanne wa taasisi ya mikopo ya OYA wafikishwa Mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya kukusudia

    Wafanyakazi wanne wa taasisi ya mikopo ya OYA wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kibaha kwa tuhuma za mauaji ya kukusudia ya Juma Said Seif (45), mkaazi wa Kitongoji cha Mbagala Mlandizi Mkoani Pwani yaliyofanyika Oktoba 7. 2024. Wakili wa Serikali, Monica Mwela amewataja watuhumiwa hao...
  2. Mystery

    Kuuawa kwa Juma Mfaume kwa kushindwa kulipa deni la mkewe kwa kampuni ya OYA, kunatokana na urasimu na sera mbovu za BoT

    Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi, Mkoa wa Pwani, siku ya Jumanne, tarehe 8 mwezi huu, kuwa wafanyakazi 4 wa kampuni ya OYA, walimuua Juma Said Mfaume, wakidai kuwa mkewe huyo Juma Mfaume, anayeitwa Khadija Ramadhan, alikopa pesa toka Kwenye kampuni hiyo ya OYA na akawa harejeshi marejesho...
  3. JanguKamaJangu

    Kampuni ya OYA 'yawakaanga' Wafanyakazi wake waliosababisha kifo cha mtu walipoenda kudai marejesho

    TAMKO LA OYA KUHUSU TUKIO LA MLANDIZI OYA Microfinance imehuzunishwa sana na ripoti za tukio la kusikitisha lililotokea Mlandizi, Kibaha, linalodaiwa kuhusisha wafanyakazi wanne wa kampuni yetu, ambalo limesababisha kupoteza maisha. Tunatoa rambirambi zetu za dhati kwa familia iliyoathirika na...
  4. Mkalukungone mwamba

    Kampuni ya OYA watoa milioni 1 kwa familia Juma Mfaume ambaye alifariki baada ya kupigwa na wafanyakazi wa kampuni hiyo

    Mwenyekiti wa Kitongoji cha Kaloleni kilichopo Kata ya Janga, Ahmed Kilindo amesema kampuni ya OYA Microcredit imetoa mchango wa shilingi milioni moja (Tsh.1,000,000/=) kwa familia ya Juma Said Mfaume ambaye alifariki baada ya kupigwa na wafanyakazi wa kampuni hiyo walioenda kudai sehemu ya...
  5. KING MIDAS

    Mfahamu Juma Jangalu anayedaiwa kuuawa na wafanyakazi wa OYA

    Huyu ndiye marehemu Juma Jangalu, aliyekuwa mfanyabiashara wa korosho kwa kutembeza mtaani, na pia alimiliki duka hilo hapo pichani. Huyu ndiye aliyeuawa na wakusanya madeni wa kampuni ya mikopo ya OYA huko Mlandizi. Juma hakuwa amewakopa OYA bali ni mkewe ndiye aliyekopa OYA tena bila...
Back
Top Bottom