kampuni za bima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. G

    Kampuni za Bima zinasaidia au magumashi? Umewahi kufidiwa pesa, kutengenezewa au kubadilishiwa gari baada ya ajali

    Kampuni za Bima hujinadi kumsaidia muhanga pale mali zake zinapopatwa na uharibifu kumfidia aidha kwa kumpa pesa, kumrekebishia au kumbadilishia mali nyingine. Je, mali yako uliyoikatia bima ilipoharibika walikusaidia kweli au ni uswahili? Kwenye fidia Matengenezo yalikuwa ya kiwango...
  2. R

    Je, kampuni za bima za vyombo vya moto zinasaidia vipi kufanya wamiliki kuwa makini barabarani?

    Bima za vyombo vya moto zimekuwa msaada mkubwa kwa watu wanaotumia vyombo hivi hasa ikitokea chombo chako kimehusika kwenye ajali. Lakini je, kampuni za hizi za vyombo vya moto hapa nchini zinachangia vipi kufanya wanaomiliki vyombo vya usafiri siyo tu kuendelea kutumia huduma zao bila...
  3. Kwanini kuna uwekezaji mdogo wa kampuni za bima katika soko la hisa DSE?

    Tofauti na nchi zilizoendelea ambapo uwekezaji wa makampuni ya bima katika masoko makubwa ya hisa ni mkubwa na hutazamwa zaidi na wawekezaji wengi duniani kwa Tanzania Sijawahi kuona kampuni yoyote ya bima ya Tanzania au ya nje ikawa listed katika soko la hisa Dar es salaam. Lakini biashara ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…