kampuni za mabasi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dr Msaka Habari

    Kampuni za mabasi zatakiwa kuheshimu utaratibu-LATRA

    Ikumbukwe kuwa tarehe 28, juni, mwaka huu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alitoa maagizo kwenye Wizara mbili, Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi pamoja na Wizara Ujenzi na Uchukuzi ya kuweka utaratibu wa Magari kuanza kutoa huduma ya usafirishaji abiria masaa ishirini na nne(24), tayari utaratibu wa...
  2. ChoiceVariable

    Swali kwa LATRA: Adhabu ya kufanya hujuma kwa nchi ni kampuni za mabasi kusitishiwa leseni kwa mwezi mmoja?

    Habari wakuu LATRA Imesitisha Leseni za usafirishaji Kwa makampuni 22 baada ya kunainika kufanya Hujuma kwenye mfumo wa kufuatilia mwendokasi wa Mabasi. Swali yaani Kampuni zifanye hujuma Kwa Nchi na usalama wa watu then adhabu yake iwe kusitisha Leseni Kwa Mwezi Mmja? Huu ni mzaha ms kucheza...
Back
Top Bottom