Wapendwa tumelia na kausha damu lakini kuna kausha damu wengine makampuni ya takataka.
Kuna kampuni inaitwa Mkede hii kampuni Ina miezi sita haijabeba uchafu alafu wamekuja na viongozi wa Serikali za mitaa wanaanza kukusanya pesa za miezi sita.
Wanaulizwa wanasema haiwahusu wakaulizwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.