KITABU CHA MAISHA YA KANALI AYUBU SIMBA
Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mwaka wa 1988 katika kuadhimisha Miaka 30 ya Azimio la Busara Tabora alisema CCM iwatafute wale wote walioingia TANU kati ya waka wa 1954 – 1958 kwani kipindi kile kilikuwa kipindi kigumu sana.
Kanali Ayubu...