Jeshi la kujenga Taifa (JKT) limebaini uwepo wa vyeti vya kughushi vinavyotumika na baadhi ya vijana ambao siyo waaminifu kwa lengo la kujipatia ajira katika taasisi na makampuni yanayohitaji watendaji kupitia mafunzo ya jeshi hilo na kusema kitendo hicho ni kosa watakaobainika watachukuliwa...