kanali

Kanali (Greek: Κανάλι) is a seaside village and a community in the Preveza regional unit, northwestern Greece. It was the seat of the former municipality Zalongo. The community consists of the villages Kanali, Kastrosykia, Mazi, Nea Thesi and Pidima Kyras. Kanali is situated on the Ionian Sea coast, 13 km north of Preveza.

The village Kastrosykia, 6 km northwest of Kanali, is the location of a city of ancient Epirus, probably of a port of Cassope.

View More On Wikipedia.org
  1. CIA walitumia wa Uyghurs kuiharibu China na kumuondosha Assad Kanali wa US anatoa siri

    Huyu kanali wa US anatoa siri kuwa US kupitia CIA waliwatumia wa Uyghurs katika jimbo la Xinjiang ili kuiharibu China kwa ndani utokee mvurugano ili waweze kuidhibiti China. Pia anasema wanatumia military power kuharibu mpango wa China wa B.R.I pia kagusia suala la US kupeleka majeshi...
  2. Rais Samia mpandishe cheo Kanali Benard Paul Mlunga

    Aliyekuwa mpambe wa wa Rais Magufuli, Kanali Benard Paul Mlunga akimsikiliza Brigedia Jenerali Ibuge (hayupo pichani) ambaye ni Mkuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa. Kanali Mlunga alijipatia umaarufu enzi ya hayati Magufuli kea uchapaji wake kazi uliotukuka. Nilijua alishapanda cheo kumbe amebakia...
  3. U

    Je, kuna vigezo au sifa zipi kikanuni Kanali wa Jeshi anatakiwa awe navyo ili aweze kupandishwa cheo kuwa Brigedia Jenerali?

    Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika hapo juu. Kwa mujibu wa Kanuni za kijeshi Kanali anatakiwa awe na vigezo au sifa zipi ili kusudi apandishwe cheo na kuwa Brigedia Jenerali? Je, inaweza kutokea akapandishwa cheo bila kuzingatia Kanuni hizo za kijeshi? Nasisitiza vigezo kwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…