Baraza la maaskofu Wakatoliki Kenya kwa kauli moja wamemkemea vikali sana Ruto kwa kile wanachosema ni Utamaduni wa kusema uongo, kunyamazisha wakosoaji, utekaji, kodi zilizopitiliza na ukiukwaji haki nchini humo.
===
A Catholic bishops’ lobby has accused the government of President William...