Kanisani kama sisi wakristo tulivyolelewa ni mahali pa kumhubiri Kristo na Mungu.
Ni mahali pa kueneza upendo, amani, unyenyekevu, imani na kuokoka.
Sasa hili kanisa la mipasho la Ask Gwajima lina sifa ya kuitwa Kanisa?
Hapo ni uongo, mipasho, ushuhuda wa uongo, ligi za mabishano...