Wakuu katika pitapita mtandaoni nimekutana na hoja ambayo hata mtaani nimekuwa nikikutana nayo kwamba mwanaume kunyonya matiti ya mwanamke husaidia kupunguza hatari ya kansa ya matiti kwa mwanamke. uhalisia wa hili ni upi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.