CHEMOTHERAPY NA TIBA YA MIONZI
MATOKEO
DALILI Kukosa hamu ya kula, kutapika, kuharisha,
upungufu wa damu, kupoteza nywele, wasiwasi ,kukosa usingizi, maumivu, uchovu, vidonda mdomoni, yeast infection, unyogovu.
SABABU Zilizotajwa hapo juu ni baadhi ya dalili za
matibabu ya saratani ya sasa...