kansa

Valittu kansa is the twelfth studio album by Finnish pop singer Antti Tuisku, released on 7 February 2020 through Warner Music Finland. The album received positive reviews from critics; Oskari Onninen from Helsingin Sanomat called it "an exceptional Finnish pop effort and a five-star album", while Jukka Hätinen, writing for Rumba, described it as "a provocative pop diamond".In its first week of release, the album entered the Finnish Albums Chart at number one, becoming Tuisku's sixth number-one album.

View More On Wikipedia.org
  1. U

    Waziri Mkuu wa Israel agundulika na Kansa ya tezi dume stage 3 baada ya kufanyiwa uchunguzi

    Wadau hamjamboni nyote? Tumuombee mwamba Mungu amfanyie wepesi alone arudi kuongoza mapambano dhidi ya magaidi Mungu ibariki nyumba ya Yakobo PM to be hospitalized for several days for prostate surgery, Prime Minister Benjamin Netanyahu addresses the Knesset, December 23, 2024. (Chaim...
  2. Kansa stage 4 kufika

    Wadau Habari zenu Mama yangu anasumbuliwa na kansa ya kizazi imefika stage 4 hivi hii stage kuna wagonjwa wamewahi survival
  3. Jeshi la Polisi ni fedheha dhidi ya demokrasia nchini

    Kulizungumzia Jeshi la Polisi Tanzania haimaanishi kutishia ama kuingilia usalama wa nchi. Soma hii taarifa yao hapa chini Pia soma: LGE2024 - Polisi: Kuna chama cha Siasa kinapanga kufanya Vurugu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Siyo mara ya kwanza polisi kutoa tuhuma ambazo hawajawahi...
  4. JE, NI KWELI PUNYETO NA USAGAJI NI MIONGONi MWA VYANZO VYA KANSA YA VIA UZAZI, MADAKTARI NA WATAALAMU WA AFYA YA UZAZI?

    Naomba ufafanuzi tafadhali wangwana matabibu wa afya na mapenzi?🐒
  5. STAFELI (soursoup) Tunda linalopambana na KANSA

    STAFELI (SOURSOP) ni tunda lenye kupambana na kansa https://x.com/BarbaraOneillAU/status/1841569942144995516
  6. Matumizi yaliyozidi ya Antibiotics, husababisha kansa!

    Kwa wale ambao wakiumwa Kichwa tu wanameza dawa, akijisikia kuchoka tu kameza dawa hii ni hatari. Tafiti zinaonesha Kutumia Antibiotics nyingi hupelekea kuua Bakteria walinzi wa mwili na kusababisha Fangasi sehemu za Mwili, kama Ulimi, Koo, utumbo, Ini, lakini pia Huchosha Ini na kuweza...
  7. X

    Russia-Ukraine War: Makombora ya Russia yapiga hospitali ya watoto wanaougua kansa Ukraine

    Okhmatdyt hospital iliyoko Kiev, ni moja ya hospitali kubwa Ulaya maalumu kwa ajili ya watoto wanaougua kansa. Waliolengwa ni magaidi ya Ukraine waliokuwa wamejificha kwenye hospitali hiyo. Ifike wakati Zelensky akubali kushindwa tu. Before After
  8. A

    SoC04 Upanuzi wa Mfumo wa Kutunza Taarifa za Wagonjwa ni Hatua Muhimu katika Mapambano Dhidi ya Kansa

    Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imekabiliwa na changamoto kubwa katika sekta ya afya, ikiwa ni pamoja na upatikanaji duni wa huduma za matibabu na usimamizi mdogo wa taarifa za afya za wagonjwa. Mojawapo ya matatizo makubwa yanayokabiliwa na jamii ni kutopata matibabu sahihi kwa magonjwa...
  9. Kua makini kama familia yenu Ina historia ya Kansa na magojwa ya moyo

    .
  10. Vyama vya Wafanyakazi Tanzania ni Kansa kwa Wafanyakazi

    Kwa muda mrefu nimefanya personal study kuhusu ubora na dhima ya vyama vya wafanyakazi Tanzania vikiongozwa na chama mama TUKTA na kuja na hitimisho kuwa , VYAMA VYA WAFANYAKAZI TANZANIA NI KANSA KWA WAFANYAKAZI. Kwa kuangalia haya machache ni dhahiri kuwa msaada wake kwa wafanyakazi ni sawa...
  11. Urusi yasema Chanjo za Saratani ziko tayari kutolewa ndani ya miaka mitatu

    Vizuizi vingi vilivyosalia vinaonekana kuwa vya kisheria, kulingana na Vasily Lazarev wa Wakala wa Tiba na Biolojia ya Kimedikali ya Urusi. Watafiti wa matibabu wa Urusi wanaweza kuwa na uwezo wa kutumia chanjo za kansa ndani ya miaka michache ijayo, ikizingatiwa ufadhili wa kutosha na msaada...
  12. Sio kila uvimbe wa titi ni kansa

    Mwaka wa 2018, karibu mwezi wa Januari, binti mmoja alijifanyia uchunguzi wa mwili na kugundua uvimbe mkubwa kwenye titi lake, ambao uliendelea kuongezeka hadi mwezi wa Oktoba alipofanyiwa uchunguzi wa matibabu. Licha ya wasiwasi wa uwezekano wa kansa, mdada huyo alikawia matibabu kutokana na...
  13. Jamaa Alienda kupima! Kaambiwa ana kansa ya ubongo` jamaa kamwambia Doctor, toa ubongo! Dct! Mmh! Utakufa!!

    Jamaa mmoja alienda kupima na akagundulika ana kansa ya ubongo! Jamaa alisikitika sana, mwishowe kamwambia Doctor, Doctor basi ondoa ubongo! Doctor Akashangaa, akamwambia! Utakufa maana hakuna mtu aweza kuishi bila ubongo! Jamaa akamwambia Doctor, Siyo kweli doctor! Mbona ccm wanaishi tu!!
  14. A

    Je, Mtu mwenye Kansa, anaweza akapewa Bima Binafsi?

    Ubaguzi mwengine wizara ya Afya. Nina jirani yangu kapatikana na kansa. Tiba yake kaambiwa ajiandae na zaidi ya sh mil 5 cash. Kaulizia iwapo akikata bima kama ataweza kupata tiba. Kaambiwa so ya private; labda apatikane mfanyakazi aliyeajiriwa hivi karibuni na amwandikishe kama mke wake...
  15. Watoto wengi wanakutwa na Saratani iliyofikia hatua mbaya

    Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Saratani na Damu kwa Watoto kutoka Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Dkt. Heronima Kashaigil amesema kuwa watoto 5 hadi 7 wanahudhuria Kliniki ya matibabu ya Saratani kila siku, sawa na watoto 250 kwa mwezi. Utafiti uliofanywa na Shirika la ICCARE Tanzania ulibaini...
  16. Siri ya dawa ya saratani/ kansa (cancer) na vyakula kwenye tiba

    CHEMOTHERAPY NA TIBA YA MIONZI MATOKEO DALILI Kukosa hamu ya kula, kutapika, kuharisha, upungufu wa damu, kupoteza nywele, wasiwasi ,kukosa usingizi, maumivu, uchovu, vidonda mdomoni, yeast infection, unyogovu. SABABU Zilizotajwa hapo juu ni baadhi ya dalili za matibabu ya saratani ya sasa...
  17. Kansa /saratani /cancer

    inaweza kusaidia, kuponya, kutibu au kuzuia ... Kuuma Misuli Ugonjwa wa Asidi Reflux (Reflux Acid) Ugonjwa wa Arthritis Pumu Fizi za Kutokwa na damu Majipu Ugonjwa wa utumbo Saratani Cholesterol Ugonjwa wa Uchovu wa muda mrefu Kuvimbiwa COPD Ugonjwa wa Crohns Ugonjwa wa ngozi...
  18. C

    Sauti kutoka Butiama: Haya ni "kansa" kwa Taifa letu, Mkiziba masikio, tunagota!

    Habari wana JF, Tumeacha njia, tupo ukingoni. Nchi ipo pabaya sana, Kwa viashiria vyote! Hakuna mjadala, wala hakuna mwenye majibu. Si UMOJA wetu, wala.......Si UZALENDO wetu......., vyote vimetikiswa nyang'anyang'a. Kutoka hapa Mwitongo - Butiama, haya mambo ndio "KANSA" zinazolitafuna...
  19. Huenda binadamu ni silaha za kibaiolojia zilizoletwa duniani kama virusi wa kansa ili kuiharibu Dunia

    Tofauti Kati ya Dini Na sayansi/filosofi kuhusu Sababu ya Sisi kuwepo duniani Na Nani ametuleta mahali hapa Ni Moja: Approach ya Dini katika kuelezea Sababu yetu kuwa hapa duniani inaanzia kwenye hitimisho (Religion approach is from the conclusion) kwamba Mungu ndio ametuleta hapa duniani ili...
  20. TANZIA VIRGIL ABLOH, Mwanzilishi na Designer wa OFF-WHITE Afariki Dunia kwa Kansa

    Mbunifu huyu aliyejipatia umaarufu kwa ubunifu wa mavazi ya mtaani (streetwear) na kupelekea kuingia mkataba na Makampuni kama Nike na Jordan amefariki dunia muda si mrefu kwa ugonjwa wa kansa akiwa na miaka 41,aliogundulika nao mnamo 2019. Mbunifu huyu alikuwa mashuhuri katika utamaduni wa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…