kansa

Valittu kansa is the twelfth studio album by Finnish pop singer Antti Tuisku, released on 7 February 2020 through Warner Music Finland. The album received positive reviews from critics; Oskari Onninen from Helsingin Sanomat called it "an exceptional Finnish pop effort and a five-star album", while Jukka Hätinen, writing for Rumba, described it as "a provocative pop diamond".In its first week of release, the album entered the Finnish Albums Chart at number one, becoming Tuisku's sixth number-one album.

View More On Wikipedia.org
  1. Kwa wanachoaminishwa raia huku mtaani ni zaidi ya kansa kwa CCM yetu

    "Magufuli kafa kwa hiyo hali imerejea kama kawaida.Kwani maji mnayaona tena?" "Magufuli kafa umeme mmeona haupo tena.Kwani Kipindi cha Magufuli umeme ulikuwa unakatika hivi?" "Magufuli kafa wazurulaji wameanza tena.Kwani mliwahi kumuona Magufuli akizurula kama huyu?" CCM tujitafakri sana...
  2. Utafiti: Harufu mbaya ya ushuzi inazuia Kansa, magonjwa ya akili

    Pale unapohisi hali ya tumbo kujaa “gesi”, suluhu pekee huwa ni kujamba ili kupunguza gesi hiyo. Habari njema kwa mujibu wa wanayansi toka Chuo Kikuu cha Exeter, nchini Uingereza, kitendo cha kujamba japo kinachukiza na kukera lakini kina manufaa makubwa kwa afya ya binadamu. Wanasayansi hao...
  3. Msaada: Nawezaje kuchunguzwa kansa na magonjwa ya figo?

    Kwa mfano Kama Nilikuwa mlevi sana wa pombe kali na mvuta sigara kwa zaidi ya miaka 20 Sasa nikataka kujua hali yangu ya organ za ndani zipoje; yaani nijue kama kuna dalili za kansa ya mapafu,ini na Koo na pia nifanye kipimo Cha magonjwa ya Figo. Je, hiyo check-up ya mwili hufanywa kwa vipimo...
  4. W

    Haji Manara ni kansa ndani ya Simba SC

    Baada ya kusikiliza clip ya Haji Manara ni dhahiri shahiri anajiona amekua mkubwa zaidi ya Simba. Uongozi wa Simba uchukue hatua haraka za kumuondoa kwa mustakbal wa klabu yetu pendwa. Anasahau hakuna branda ya Haji Manara Bali kuna brand ya Haji Manara wa Simba. Ukiondoa Simba hakuna Haji...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…