Waziri wa Madini Doto Biteko kwasasa ni vyema utoke hadharani wewe kama wewe na kukanusha tuhuma zote zinazokuja katika mitandao mbalimbali ya kijamii kama inavyosema kuwa katika awamu ya sita ulifanya Wizara ya Madini kuwa ni sehemu ya kanda yenu.
Kanusha kuhusu wizi wa madini ya Tanzania...
Shirika la ndege la Precision Air limekanusha habari iliyochapishwa na Sauti kubwa tarehe 29/12/2020 yenye madai ya kwamba kutokana na athari za janga la COVID-19 shirika hilo, lipo mbioni kuacha kufanya biashara katika robo ya kwanza ya mwaka 2021, kuachisha kazi marubani 50 na kwamba hivi sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.