kanusho

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Dawasa msidangaye watanzania, shida ya maji bado ipo

    Ndugu zangu, nimesoma sehemu mhandishi huyu wa dawasa akidanganya. Pamoja na mvua zinazonyesha dsm kuna maeneo hakuna maji ikiwa ni pamoja na kinyerezi. Ndg waandishi wa habari popote pale mnaposoma huu ujumbe fikeni kinyerezi saranga mjionee, mpate habari za kukosekana maji yapata mwezi wanne...
  2. U

    Asgard Security Company Limited: Ufafanuzi kuhusu madai ya kutolipa wafanyakazi mshahara

    UFAFANUZI KUHUSU TAARIFA ILIYOCHAPISHWA IKITUHUMU KAMPUNI YA ASGARD SECURITY COMPANY LIMITED KUTOLIPA WAFANYAKAZI WAKE MISHAHARA Mnamo tarehe 17 Februari 2025, kwenye Mtandao wa Jamii Forums na kurasa zake katika mitandao mingine ya kijamii ilichapishwa habari iliyotoka kwa mwananchi inayodai...
  3. OKW BOBAN SUNZU

    Dkt. Mwigulu rudi tena useme vizuri kanusho la serikali "kufulia"

    https://www.jamiiforums.com/threads/tanzanialeaks-apuuzwe-hazina-haijafilisika.2236060/ Heshima kwenu wakuu wenzangu Kama mtambuka juzi kati member wa JF na Waziri wa Fedha alikuja humu kukana kwamba serikali haijapungukiwa uwezo wa kifedha. Hoja yake ilijikita kuonyesha serikali ina uwezo...
  4. M

    SI KWELI Shirika la Afya Duniani(WHO) lawatahadharisha mikate ya kuoka kuwa inasambaza COVID-19

    Hivi karibu kumekuwepo na taarifa ya kuwataka watu kutokula vitafunwa kama vile mikate n.k kwa ajili ya kuepuka maambukizi ya CoronaVirus Taarifa hiyo ili kupewa uhalali wake, iliambatanishwa na nembo ya Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa(WHO) imesambaa kwenye Mitandao ya Kijamii ikidai watu...
  5. M

    SI KWELI Mayai ya Kuku kutoka nje ya Tanzania, yalisababisha kushuka kwa bei ya Mayai

    Juni 14, 2021 mitandao mbali mbali ya kijamii ilirindima kwa uvumi kuwa kuna mayai ya kuku kutoka nje ya Tanzania ambayo yamefanya mayai nchini yauzwe kwa Tsh. 4000 kwa trei la mayai 30, hali iliyoleta taharuki kwa wafugaji wa kuku nchini.
  6. M

    SI KWELI Treni ya Mwendokasi kuanza safari Juni 21, 2022 kutoka Dar kwenda Morogoro

    Kanusho la taarifa ya kuanza kwa huduma za safari za treni za kisasa Dar es Salaam - Morogoro.
  7. Analogia Malenga

    TANESCO: Hakuna Mgao wa Umeme

    "Hakuna tatizo la mgao wa umeme, ili kuwe na mgao wa umeme ina maana umeme unaozalishwa unakuwa haukidhi mahitaji. Kwa sasa tunazalisha MW 1,600 na matumizi ya kiwango cha juu ya umeme kilichorekodiwa wiki iliyopita ni MW 1,273.42" Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO "Katika kuleta...
  8. OKW BOBAN SUNZU

    Mwalimu Mkuu Shule ya Msingi Nzasa aonywa kwa kumwalika Amber Rutty kama mgeni shuleni

    Uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke umeeleza kuchukizwa kwake na kitendo cha Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nzasa kumualika Amber Rutty kama Mgeni rasmi na kuongea na Wanafunzi. Pia soma > Mkuu wa Mkoa, tunaomba Walimu waliohusika kumwalika Amber Rutty Shuleni wachukuliwe hatua...
  9. mshale21

    Serikali: Kilichompata Dkt. Sospeter Bulugu kilitokana na kushuka kwa Sukari, na siyo madhara ya chanjo

    Pia soma > Kwanini Waziri Gwajima anaficha taarifa ya Dkt. Sospeter Bulugu kuzidiwa ghafla wakati akitoa hotuba? Kwa hiyo ndugu zangu: #Twendeni Tukachanje
  10. Aladeen04

    RATRA yakanusha Naulli za Magari zinazo sambaa mitandaoni

    Kuna ukweli hapa? Maana hata signature hakuna. https://www.jamiiforums.com/threads/mpaka-sasa-baada-ya-hizi-nauli-mpya-na-tozo-tunasemaje-kuhusu-mama.1890761/
  11. Tanzania Railways Corp

    Kanusho la taarifa ya kuanza kwa huduma za safari za treni za kisasa Dar es Salaam - Morogoro

    Kanusho la taarifa ya kuanza kwa huduma za safari za treni za kisasa Dar es Salaam - Morogoro
Back
Top Bottom