kanyaboya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Huyu ndiye Kanyaboya bondia mwenye mikwara mingi ila uwezo sifuri.

    Unamjua "KANYABOYA"? Kanya Boya alikuwa bondia wa ngumi za kulipwa kutoka Burundi. Bondia huyu, jina kamili Felix Kanyaboya alikuja Tanzania kati ya Miaka ya 1986/1987. Alikuwa anafikia Hotel za mitaa ya Kariakoo... 2/ Sifa yake kubwa ilikuwa ni mikwara, kama Mandonga. Siku ambayo alikuwa na...
  2. Mfahamu 'Ringberia Kanyaboya' wa Kariakoo alivyosababisha uwepo wa neno 'Kanyaboya'

    Kisa cha mchezo wa kanyaboya ulioingia mjini miaka ya themanin nakitu mjini Dar na hususani sehemu za Kariakoo. Kwanza ni lazima niweke wazi maana ya neno hilo lilipotokea na kwanini usanii au wizi wa kiaina fulani uitwe Kanyaboya. Ringberia Kanyaboya ni jamaa fulani wa kutoka nchini...
  3. G

    Sitaki kukumbuka matapeli wa kanyaboya. Niliwapa hadi simu yangu ili nikomboe pesa niliyopewa kununua bia za baba, mshua alinitembezea kipigo kikali

    2008 hiyo Mshua alikuwa anapiga kazi zake za wiki lakini ikifika Ijumaa mida ya saa mbili flani hivi anapiga vyombo vyake kistaarabu kabisa hana kelele wala fujo na ni ndani sio bar. Nilipewa takribani elf 10 kuchukua lvinywaji alivyoniagiza, enzi hizo ni pesa kubwa hii. Nilipita sehemu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…