Mama wa Taifa Samia, mambo mengine ni ya kuziba sikio maadamu unajua ni wapi unataka twende.
Mzee wako Mwinyi alipotutoa katika kongwa la uchumi wa chungu kimoja akatuletea uchumi huria tulipiga kelele hakuna mfano, najiuliza leo tungelikuwa bado huko tungekuweje,?
Mkapa akapokea kijiti na...