karanga

A karanga (call out, summon) is an element of cultural protocol of the Māori people of Aotearoa New Zealand. It is an exchange of calls that forms part of the powhiri, a Māori welcoming ceremony. It takes place as a visiting group moves onto the marae or into the formal meeting area. Karanga are carried out almost exclusively by women and in Māori language, and are initiated by the tangata whenua or hosts, and responded to by the visitors.
Karanga follow a particular format in keeping with protocol. This includes exchanging greetings, paying tribute to the dead (especially those who have most recently died), and referring to the reason for the groups' coming together. It has an important function in building connections between tangata whenua and manuhiri (guests), and setting the agenda for the gathering.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Mchanganyiko wa Pepsi na karanga

    Eti wadau nimeikuta mahali ivi ni kweli ukichanganya pepsi na karanga zilizokaangwa inaongeza nguvu za kiume?
  2. Kama Seal za vizibo vya chupa za maji zinachafua mazingira. Je, karanga na pipi hazichafui?

    Ukubwa wa seal za vizibo vya chupa za maji hauna tofauti na ukubwa wa vifungashio vya karanga na pipi. Seal za vizibo vya chupa za maji zilikuwa ni uhakika kwa mtumiaji kuwa maji hayajachakachuliwa Unapozuia maji kuwekewa seal una maana gani? Maji fake yaingie mitaani?
  3. INAUZWA Tunauza Mashine aina mbalimbali, tupo Dar es salaam

    MASHINE YA KUPUKUCHUA MAHINDI BEI: 450,000/= Je, huna cha kufanya? Unatafuta kazi hupati? Sisi ni wasambazaji wa mashine tofauti kutoka china, mashine zipo kwa oda malipo ukikabidhiwa mzigo wako kwa wa dar, wamikoani kuna utaratibu wengine MNAKARIBISHWA! KWA Mashine hii unaweza kutumia kwa...
  4. Gazeti Mwananchi lamchambua Samia kama karanga

    Ukimwelewa mwandishi anaonyesha Rais alikuwa anaenda chaka. Hakukata kabisa kiu ya wadau
  5. J

    TBS yatoa mafunzo ya sumukuvu kwa wadau wa mazao ya mahindi na karanga wilayani Kiteto

    TBS yatoa mafunzo ya sumukuvu kwa wadau wa mazao ya mahindi na karanga wilayani Kiteto Na Mwandishi Wetu Serikali kupitia Shirika la Viwango Tanzania (TBS) imeanza rasmi kutoa mafunzo kupitia Mradi wa Kitaifa wa Kudhibiti Sumukuvu "Tanzania Initiative for Preventing Aflatoxin Contamination -...
  6. Kibonzo: Kipanya anaelezea jinsi ya kummenyea kipofu karanga

  7. U

    Orodha ya baadhi ya vyakula vinavyotajwa kuwa bora (super foods)

    Tunaambiwa kuwa kuishi vizuri ni pamoja na kula chakula bora na sahihi. Pia, mtu anayeishi vizuri ni yule ambaye hasumbuliwi na maradhi hatari na njia pekee ya kuulinda mwili dhidi ya maradhi hatari ni kujua ipasavyo na kuvitumia vyakula bora pamoja na kufanya mazoezi. Katika makala yafuatayo...
  8. T

    Je, ni sehemu gani hapa kwetu Tanzania ambapo kunaliwa karanga pori (macadamia nuts)?

    Natarajia wakuu mko salama kabisa, Je ni sehemu gani hapa kwetu Tanzania ambapo kunaliwa karanga pori kwa wingi au wapi panaweza limwa macadamia nuts kwa wingi, yaani karanga pori, natangulia shukrani.
  9. Wapi naweza kufanya kilimo cha mahindi karanga mahindi maharage na mpunga?

    Nimekuwa mjini muda mrefu sana Nimeona kukaa mjini hailipi Napanga niende kijijini nikalime Niepukane na matozo ya serikali ambayo yanaletwa kila uchao Niko kanda ya ziwa Unanishauri nihamie wapi ambapo naweza kufanya kilimo cha mahindi karanga mahindi maharage na mpunga Na nikafanikiwa...
  10. Nahitaji karanga kwa wingi

    Habari, Nahitaji karanga kama Tani 100. Naomba kujua wapi nitapata mzigo mkubwa kama huu na bei yake ikoje. Ahsante.
  11. M

    Kula karanga mbichi kutasaidia kumpa mimba?

    Nimebahatika kupata mdada huko nyuma alishawahi kuolewa akapata watoto wawili. Ni muda mrefu hajapata ujauzito. Mimi pia nataka nimjaze fasta. Mitaani wadau huwa wanadai karanga mbichi huwa ziongeza sperm count hivyo kusadia uja uzito. Wadau wa shoo za ukweli hivi ni kweli karanga mbichi huwa...
  12. INAUZWA Jipatie peanut bata (siagi ya karanga)

    Peanut Butter (Siagi ya karanga) Hii ni karanga iliyosagwa na kuchanganywa na chumvi kwa ajili ya matumizi ya nyumbani. Siagi hii ni mbadala kabisa kwa wale wanaohitaji kubadilisha mfumo wa ulaji wa mafuta ya kupikia ukikumbuka kwamba mafuta haya sio salaama kwa afya. UNAIPATAJE? Tupo Tabora...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…