Jumuiya ya wafanyabiashara Kariakoo kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wanatarajia kufanya tamasha walilolipa jina la 'Kariakoo Festival ' kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es salaam.
Akizungumzia tamasha hilo Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabiashara Karikakoo, Martin Mbwana amesema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.