karikakoo festival

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. I

    Karikakoo Festival kufanyika August 24-31, 2024 viwanja vya Mnazi Mmoja, bidhaa kuuzwa bei ya punguzo

    Jumuiya ya wafanyabiashara Kariakoo kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wanatarajia kufanya tamasha walilolipa jina la 'Kariakoo Festival ' kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es salaam. Akizungumzia tamasha hilo Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabiashara Karikakoo, Martin Mbwana amesema...
Back
Top Bottom