karikakoo festival

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. I

    Karikakoo Festival kufanyika August 24-31, 2024 viwanja vya Mnazi Mmoja, bidhaa kuuzwa bei ya punguzo

    Jumuiya ya wafanyabiashara Kariakoo kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wanatarajia kufanya tamasha walilolipa jina la 'Kariakoo Festival ' kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es salaam. Akizungumzia tamasha hilo Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabiashara Karikakoo, Martin Mbwana amesema...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…