Kashfa kwenye Jeshi la Polisi imekuwa ni Jambo la kawaida, na ukifanya utafiti utagundua ni chombo kisichoaminika na inatuhumiwa kwa rushwa, ubakaji na ulawiti. Kila baya polisi.
Je, sababu ni nini?
Pamoja na ukosefu wa maadili, lakini masilahi ya polisi ni duni mno, mishahara kidogo, tena...