kashfa ya ngono

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Rais wa Guinea Ikweta, amteua Zenón Avomo kurithi Mikoba ya Baltasar Engonga, aliyeng’olewa kufuatia kashfa ya video za ngono 400

    Zenón Avomo ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Shirika la Kitaifa la Upelelezi wa Fedha (ANIF) akichukua nafasi ya Baltasar Engonga, aliyeng’olewa kufuatia kashfa ya ukiukaji wa maadili katika ofisi ya umma. Kashfa hiyo iliibuka baada ya uchunguzi kubaini uwepo wa video zaidi ya 400...
  2. P

    Kulikuwa na haja gani kwa serikali ya Equatorial Guinea kuvujisha zile video?

    Habarini wakuu. Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea . Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono? Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya? Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica...
  3. Mkalukungone mwamba

    Serikali ya Equatorial Guinea yaunyima uwezo WhatsApp usambazaji wa picha na video za ngono za Afisa wa Serikali

    Naona Serikali Equatorial Guinea wanafanya kila mbinu kuhakikisha mambo yasiwe mengi baada ya huyo jamaa kuchafua hali ya hewa kwenye taifa hilo na nje ya taifa hilo ============================ Serikali ya Equatorial Guinea imeminya Mtandao wa Whatsapp Nchini humo ili Raia wake wasiweze...
Back
Top Bottom